MTANGAZAJI WA AZAM TV ALIYEPOTEA APATIKANA

Mtangazaji wa azam tv aliye semekana kapotea katika hali ya kutatanisha apatikana akiwa hai

mtangazaji huyo Fatma ramal amepatikana akiwa hai baada ya kupotea kwa saa zaidi ya 48 huku ambapo mmoja  wa ndugu zake.amesibitisha kupatikana kwa mtangazaji huyo

kupitia mtandao wa twiter ndugu huyo alisema anashukuru kwa wale woote waliosaidia kupatikana kwa ndugu yake huyo

habari za kupotea kwa mtangazaji huyo kuliweka watu wengi njia panda huku wakiwa hawaelewi kisa ni nini cha kutoweka kwake ambapo baada ya kupatikana alipelekwa polisi ili aweze kutolea maelezo


Post a Comment

Previous Post Next Post