
Muinjilisti Terry Apudo pichani alibakwa siku ya ndoa yake nchini kenya
mwanamke huyo ambae ni muumini wa dini ya kirokole nchini kenya alikumbwa na mkasa mkubwa wa kubakwa siku moja kabla ya ndoa yake
taarifa zilienea kuwa amepotea lakini kumbe alitekwa na kubakwa na watu wabaya
alikuwa akitoka kanisani ghafla wakaja wanaume wawili na kumbana kisha kumwingiza ndani ya gari na kutokomea nae
alipofika huko walimwambia wafanye mapenzi vinginevyo watamuua ndipo wakambaka kwa zamu na kisha kumbeba na kwenda kumtupa nje ya mji wa Nairobi
baada ya muda akapata msaada kutoka kwa wasamalia wema na kumpeleka hospitali huku akiwa amechelewa kwenye ndoa yake ambayo ilikuwa na wageni wengi
Tags
Kimataifa