KIINGILIO CHA KUTAZAMA MPAMBANO WA MAYWETHER NA MCGREGOR NI MILION 300 MTU MMOJA



Waandaaji wa pambano la ndondi kati ya Mywether na Mcgregor wametangaza kiingilio cha pambano hilo kuwa ni kiasi cha dolla 150000 sawa na milioni 300 za kitanzania

mpambano huo utakao pigwa ndani ya uwanja wa T-mobile mjini Las vegas nchini marekani  Agost 26

kwa mujibu wa taarifa mpaka sasa tiketi zimesha uzwa nyingi kama vile njugu japokuwa bei yake ni kubwa

mywether alitangaza kustaafu ndondi lakini ameamua kurudi tena kupambana akijiamini atashinda kama ilivyo kawaida yake


Post a Comment

Previous Post Next Post