
Baada ya lipumba kutangaza kuwafutia uanachama wabunge nane wa viti maalum wa CUF hatimae wabunge hao wamefungua kesi mahakamani
wabunge hao nane ni wa viti maalumu wafungua kesi iliyopewa namba 142/2017 huku wakisimamiwa na wakili Peter kibatala
wabunge hao wanapinga kufukuzwa uanachama na pia wanapinga kusimamishwa nafasi ya ubunge ambapo mpaka sasa wabunge wengine wameteuliwa kuchukua nafasi zao
Tags
Kitaifa