MAREKANI KUMPIGA KOREA KASKAZINI

Marekani kupitia barozi wake pichani imehaidi kutumia nguvu zidi ya korea baada ya korea kufanya jaribio jingine la kombora la masafa marefu

marekani yasema kufuatia korea kufanya jaribio lake inaziilisha wazi kuwa hayupo tayari kwa mazungumzo kuhusu kuleta amani hivyo itabidi kumkabili

juzi korea walifanya jaribio la kombora la masafa marefu lenye uwezo wa kufika nchini marekani lakini waliliongiza kupiga baharini

kabla kulikuwa na makubariano kuhusu korea kuacha majaribio yake ya makombora lakini amekuwa akikaidi mara kwa mara makubaliano

urusi na uchina wamesema hawata unga mkono hatua zozote za kutumia nguvu dhidi ya korea na badara yake wanataka mzozo uishe kwa majadiliano

Post a Comment

Previous Post Next Post