Askari wa jeshi la wananchi wa tanzania Marwa wambula miaka 25 apandishwa mahakamani kwa hakimu mkazi kinondoni kwa kosa la kusababisha mauji
mtuhumiwa alitenda kosa la kumuua Rashid kishinde askari huyo wa kikosi namba 83 kilichopo kilivya
mtuhumiwa alifanya mauaji hayo jini 17.2017 maeneo ya kibamba ccm alimuua marehemu huku akijua kuwa ni kosa kisheria kwa sheria za tanzania
baada ya kusomewa mashtaka hakimu alisema mtuhumiwa atakiwi kujibu chochote kwakuwa mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza kesi hiyo
hakimu alisema kesi hiyo inatakiwa kusikilizwa katika mahakama kuu na akahailisha kesi hiyo mpaka julai 18
Tags
Kitaifa