MAMA ATUA UCHI NA UNGO UWANJA WA NDEGE.DAR



Katika hali isiyo ya kawaida mama mmoja ambae jina halija fahamika ameanguka na ungo akiwa mtupu karibu na uwanja wa ndege dar

mama huyo alikuwa kwenye ungo ghafla akaanguka barabarani kalibu na uwanja wa ndege mjini dar es salaam

baada ya kuanguka akiwa mtupu kama alivyo zaliwa mama huyo alienda kujificha ili watu wasimuone kwakuwa alikuwa mtupu

baada ya kuona watu alichukuwa mkoba aliokuwa nao na kutoa gauni na kulivaa ambalo lilikuwa kwenye mkoba ambao aliuangusha yeye mwenyewe

baada ya tukio hilo polisi walikuja kumwokoa maana raia walitaka kumpiga wakimtuhumu kwa ushilikina

mpaks sasa haija fahamika mama huyo alikumbwa na nini na alikuwa anakwenda wapi pia ni kichaa au mchawi kweli


Post a Comment

Previous Post Next Post