LIVE:LOWASA AWASILI TENA KITUO CHA POLISI



Kufuatia kuhairishwa maojiano hatimae lowasa awasili tena polisi leo hii kuojiwa

lowasa alitakiwa kuja kwa DCI leo alhamisi baada ya wiki iliyopita kuto fanyika mahojiano yoyote

lowasa amewasili akiwa na mke wake Regina lowasa pamoja na mwanasheria wake ambae ni pita kibatala

lowasa anatuhumiwa kutoa lugha ya uchochezi baada ya siki ya futari aliyo iandaa kuitaka serikali iwaachie masheh wa uamsho akisema hawana makosa

mashehe hao wanashikiliwa kwa muda wa miaka mitatu sasa huku wakiwa hawaja hukumiwa mpaka sasa katika kesi yao


Post a Comment

Previous Post Next Post