LIPUMBA AWAVUA UANACHAMA WABUNGE NANE WA CUF



Mapema leo mwenye kiti wa CUF anae tambulika na msajiri wa vyama vya siasa Lipumba ametangaza kuwavua uanachama wabunge nane

lipumba aliwatangaza wabunge nane wa chama hicho kuwa wamevuliwa uanachama na wamevuliwa uanachama ni kutokana na utovu wa nizamu

pia alisema wabunge hao walishilikiana na chadema kutaka kuingilia majukumu ya CUF na kutaka kumwangusha madarakani

wabunge hao nane ni miongoni mwa wabunge kumi wa chama hicho walioitwa kuhojiwa kwa kosa la kushilikiana na chadema kutaka kufanya mapinfuzi dhidi yake

pia lipumba amewavua udiwani madiwani wawili kwa kuhusika kwenye njama ya kukihujumu chama hicho walishilikiana na chadema


Post a Comment

Previous Post Next Post