mwanamke aliye jioa mwenyewe

mwanamke.mmoja nchini taiwani ambae anaugua kansa ya matiti aamua kujioa mwenyewe baada ya kukosa bwana

mwanamke huyo anasema alingojea saana mtu wa kumuoa lakini amekosa ameamua kujioa yeye mwenyewe kama hatua ya kujifatiji

mwanamke huyo wa miaka.28 alikodisha nguo za harusi na kwenda kupiga picha pekeyake akisema anajaribu kutimiza ndoto za kuorewa


Post a Comment

Previous Post Next Post