Mapema leo.kulizuka taarifa za kuwa mzee majuto kafariki baada ya kuumwa
lakini taarifa hizo ni za uzushi na zinaenezwa na watu wachache ili kumchafua mzee majuto ambae alikuwa anaumwa lakini sasa anaendelea vizuri na afya yake inatengamaa tofauti na ilivyo sambazwa
Tazama video hiyo mzee majuto akifanyamazoezi mapema leo
lakini taarifa hizo ni za uzushi na zinaenezwa na watu wachache ili kumchafua mzee majuto ambae alikuwa anaumwa lakini sasa anaendelea vizuri na afya yake inatengamaa tofauti na ilivyo sambazwa
Tags
Swahiba Tv