JERRY TEGETE AFURAI KUSAJILIWA NA MAJIMAJI



Mchezaji aliye wai kuchezea yanga na mwadui united Jerry tegete ajiunga na majimaji ya mjini songea

tegete ambae alipata mafanikio makubwa akiwa na timu ya yanga kwa miaka kadhaa hatimae amesaini majimaji ya hapa songea

tegete amesema kwenye maisha ya soka ni vigumu kutambua kesho utakuwa wapi kikubwa ni kupambaba ili uyafikie malengo

amesema majimaji ni sehemu sahihi kwake kwa sasa maana anaitaji kurudusha kiwango chake cha zamani akiwa na yanga na timu nyingine

tegete amekuja majimaji akitokea nwadui united kwa dau ambalo halija wekwa wazi na timu hizo mbili


Post a Comment

Previous Post Next Post