HALIMA MDEE AACHIWA KWA DHAMANA



Mbunge wa kawe Halima mdee aachiwa kwa zamana leo baada ya kukaa mahabusu kwa siku kadhaa

mdee alipandishwa mahakamani kujibu mashitaka ya kumtukana raisi akiongea na wana habari

akisomewa mashitaka mdee aliambiwa amemtukana raisi aliposema "raisi anaongea hovyo inabidi afungwe breki" baada ya kusomewa mashitaka hayo mdee alikana mashitaka

hakimu akaruhusu dhamana na mdee akaachiwa kwa dhamana ya  ahadi ya shilingi milioni kumi na wazamini wawili ambapo kesi hiyo imehailishwa mpaka tarehe saba mwezi ujao


Post a Comment

Previous Post Next Post