AMPIGA MKE WAKE RISASI BAADA YA KUCHELEWA KUPIKA CHAKURA



Mwanamume mmoja nchini india amemuua mke wake baada ya kuchelewa kupika chakura

mwaname huyo anatabia ya ulevi  na huwa anampiga mke wake mara kwa mara akitoka kwenye pombe

baada ya kumpiga risasi mwanamke huyo alikimbizwa hospitali lakini alifariki njiani akikalibia hospitali

baada ya tukio hilo mtuhumiwa alikiri kufanya tukio hilo la kusababisha mauti kwa mkewake na anajuta kwa alicho kitenda kwa mke wake


Post a Comment

Previous Post Next Post