Nchini Taiwani wabunge wapigana baada ya kupishana kauli
kulikuwa kuna mada ya kupitisha mradi wa maendeleo ambao wapinzani walikalamika kuwa ulikuwa ubaegemea upande mmoja
baada ya kuwasilishwa kwa pendekezo la mladi huo wabunge wa upinzani waliupinga lakini chama tawala wakataka kutumia uwingi wao bungeni
ndipo wabunge wa upinzani wakaanza kurusha vyupa vya maji kuelekea kwa spika na hatimae ugomvi ukazuka hatua ya kurushiana viti na hatimae kupigana mwilini kabisa
Tags
Kimataifa