
Nchini Uswisi kumezinduliwa daraja ambalo ni refu zaidi duniani
daraja hili lina urefu waita 500 huku likiwa umbali wa mita 87 kutoka usawa wa ardhi na limekuwa likiwavutia watu wengi
daraja hilo lime wavutia watarii wengi na limejengewa nguzo za kuzuia lisitikisike na kusukumwa na upepo
daraja hilo limejengwa kwenye daraja ambalo lilijengwa mara ya kwanza baada ya kuharibika baada ya kusukumwa na miamba
Tags
Entertaiment