BLADLEY SHABIKI MTOTO WA SUNDERLAND AFARIKI



Mtoto ambae alikuwa shabiki mkubwa wa sunderland ambae alikutwa na uginjwa wa kansa ya damu afariki dunia

bladley alikutwa na ugonjwa huo wa kansa tangu akiwa na miezi 18.tuu hatimae amefariki dunia baada ya kuuhua kansa hiyo kwa kipindi kirefu


pia mtoto huyo alikuwa anampenda saana defoe mda mwingine alimwomba walale wote

madaktari walisema hataweza kuishi na hatimae amefariki


Post a Comment

Previous Post Next Post