Kijana mmoja wa miaka 16 afunga ndoa na bibi wa miaka 70 nchini indonesia huku akiacha watu midomo eazi
kufahamika kwa ndoa hiyo kulikuja baada ya video ya harusi hiyo kusambaa kwenye mitandao nchini indonesia huku sheria za ndoa zikiwa haziruhusu
baada ya kufungwa ndoa hiyo watu wengi walihamaki na kustaajabishwa kwa kijana huyo kufunga ndoa ma bibi wa miaka 70
kijana huyo ambae baba yake alifariki miaka kadhaa iliyopita anaishi na mama yake ambae ameshindwa kuelezea kwanini mtoto wake amwie ajuza huyo
mpaka sasa chanzo cha kuoana kwa wawili hao hakija julikana huku wengine wakisema mzazi wake anajua
kufahamika kwa ndoa hiyo kulikuja baada ya video ya harusi hiyo kusambaa kwenye mitandao nchini indonesia huku sheria za ndoa zikiwa haziruhusu
baada ya kufungwa ndoa hiyo watu wengi walihamaki na kustaajabishwa kwa kijana huyo kufunga ndoa ma bibi wa miaka 70
kijana huyo ambae baba yake alifariki miaka kadhaa iliyopita anaishi na mama yake ambae ameshindwa kuelezea kwanini mtoto wake amwie ajuza huyo
mpaka sasa chanzo cha kuoana kwa wawili hao hakija julikana huku wengine wakisema mzazi wake anajua
Tags
Entertaiment
