BARAZA LA KIJIJI LAAMULU DADA ABAKWE KURIPIZA KISASI BAADA YA KAKA YAKE KUMBAKA JIRANI



Baraza moja la kijiji nchini Pakistani liliamuru dada abakwe baada ya kaka yake kumbaka binti wa jirani

binti huyo wa miaka kumi na saba alibakwa kama kulipiza kisasi baada ya kaka yake kumbaka binti wa jirani yake

nchini pakistani tabia ya ubakaji inapamba moto kila kukicha huku visa vya ubakaji vikiwa vinaongezeka kwa kasi kubwa

mapema mwaka jana dada mmoja aliamuliwa na wazee wa kijiji abakwe baada ya kaka yake kumuoa binti kutoka familia ya kitajiri hatua iliyo waudhi wazee wa kijiji

mpaka sasa polisi ina washikilia wazee walio amua kufanyika kwa ubakaji huo ili kuwachukulia hatua za kisheria


Post a Comment

Previous Post Next Post