WAASI WA FARC WAKUBARI KUFUTA KUNDI LAO

Kundi la wanamgambo lililosumbua colombia la FARC lakubari kufuta kundi lao

kundi hilo lilikuwa linatawala robo ya ardhi ya colombia kwa zaidi ya miaka 30 na kupambana na jeshi la serikali kwa kipindi chote hicho

hatimae kikindi hicho cha waasi ambao walisababisha vifo vya watu zaidi ya milion tangu kianze kupambana kikosi hicho kimekubari kuwa watu wema katika jamii

raisi wa nchi hiyo amesema ni furaha kwake kuona wana badirishana siraha na maneno ya amani na wanatarajia waasi hao watakuwa mfano wa kuigwa uraiani

kwa kipindi kirefu walikuwa kwenye majadiriano ambayo kwa kipindi kirefu yalikuwa yakikosa matokeo mazuri hatimae sasa amani imepatikana


Post a Comment

Previous Post Next Post