WATU 19 WAFARIKI BAADA YA BOMU KURIPUKA MANCHESTER

Polisi nchini uingereza imesibitisha kuwa zaidi ya watu 19 wamefariki baada ya kutokea mlipuko.katika ukumbi wa muziki mjini manchester

kwa mujibu wa mashuhuda wamesema wakati mwimbaji kitoka marekani arein grend akamaliza kiuimba ghafla ukatokea mlipuko mkubwa ambapo.watu 19 wamefariki na na zaidi ya 50 kujeruiwa

mpaka sasa hakuna kikundi chochote kilicho kili kuhusika na mauaji hayo na polisi wanaendelea na uperelezi kuwabaini walio husika

watu walio.kuwemo humo wamesema waliishuhudia misumali ikiwa imetapakaa chini baada ya kutokea mlipuko huo



Post a Comment

Previous Post Next Post