Mtoto mmoja wa umri wa miaka mitano amebakwa na kijana ambae jina lake limeifadhiwa kisha kijana huyo kutoroka
mkuu wa polisi mkoa wa mwanza Ahmed msangi amesibitisha kutokea tukio hilo lililotokea maeneo ya kilumba ilemela mkoani mwanza
kwa mujibu wa mashuhuda mtoto huyo alibakwa na huyo kijana hatua iliyo mpelekea kupata maumivu makubwa kutokana na kitendo hicho
polisi bado inaendelea na uchunguzi kumtia nguvuni kijana huyo ambae baada ya kufanya tukio hilo alifanikiwa kutoweka na hakulikani alipo mpaka muda huu
matukio ya ubakaji watoto ni mengi nchini huku baadhi ya watu wakiyausisha na imani za kishilikina
Tags
Kitaifa