TUNDU LISU AONYA KUHUSU UUNDWAJI WA BODI YA USAJILI WA MAWAKILI

Rais wa chama cha wanasheria tanzania Tundu lisu ameitisha mkutano kujadili uundwaji wa bodi ya usajili wa mawakili inayotaka kuundwa

Lisu amesema bodi hiyo itakuwa chini ya wizara ya sheria na itakuwa na maamuzi makubwa kwa mwanasheria yoyote

amesema bodi hiyo inaweza kumfuta mwanasheria yoyote pale itakapo lizia kufanya hivyo kwa mwanasheria yoyote

lissu amese bodi hiyo inania ya kuwazuia wanasheria kujihusisha na siasa hususani kwa mawakili na wanasheria wa upinzani nchini

amesema bodi hiyo haina nia nzuri nivizuri wanasheria wakae  na kuijadili ili wafahamu kiundani kuhusu bodi hiyo

tundu lisu ni raisi wa chama cha wanashelia nchini TLC pia ni.mbunge wa singida akiwakilisha chama cha demokrasia na maendeleo chadema pia ni mwanasheria mkuu wa chadema


Post a Comment

Previous Post Next Post