simu ya mkononi iliyo wai uzwa bei kali

ni iphone rose ni toleo la.iphone 4 ambayo nayo iliwai kuwa miongoni mwa sim za bei kali duniani

sim hii ilikuwa na thamani ya dolla milion 8 sawa na kma bilion 17 za kitanzania haikuwa na utofauti saana na zingine ila hii ilikuwa na naksh ya dhahabu iliyo pelekea cm hii kuwa ghali kwa wakati ule


Post a Comment

Previous Post Next Post