mvua yadhidi leta madhara maeneo mengi nchini

mvua zinazonyesha kwa wiki tatu sasa zimeleta maafa makubwa sehemu nyingi nchini na kusababisha kuharibika kwa miundombinu sehemu nyingi

ambapo visiwani zanzibar shule zimefungwa kutokana na mvua hizo wanafunzi wanashindwa kwenda shule kutokana na mafuriko

na katika baadhi ya mikoa madaraja na barabara zimeharibika na.baadhi ya raia kulazimika kuyaama makazi kutokana na kuzungukwa na mvua


Post a Comment

Previous Post Next Post