mashambulizi ya visu yaendelea uingereza

mtu mmoja nchini uingereza amejeruiwa kwa kisu katika mji wa london nakupata majeraha.makubwa mwililini

mtu huyo ambae alikuwa na baiskeli alikutwa pembezon mwa barabara akiwa hajiwezi baada ya kushambuliwa vibaya

afisa wa.polisi amesema wanamume wawili wana shikiliwa kwa kuhusika katika tukio hilo.huku mgonjwa akienderea vizuri


Post a Comment

Previous Post Next Post