waasi wazidi kujisalimisha kolombia

waasi zaidi wa kundi la farc nchini kolombia wazidi kujisalisha na kuwa raia wema nchini colombia na kusalimisha siraha zao

waasi wa farc wamekuwa wakipigana  na serikali kwa miongo kadhaa wengi wao waamua kurudi uraiani na umoja wa mataifa wamewapatia vyeti

ina amoinika waasi wengine zaidi ya 6000 wanatarajiwa kujisalimisha wao na siraha zao


Post a Comment

Previous Post Next Post