taiwani ndyo nchi ya kwanza barani asia kuruhusu ndoa za jinsia moja
mahakama nchini taiwani yaruhusu ndoa za jinsia moja na kuwaacha raia wawe huru kwenye mahusiano yao
mahakama imesema ni ukiukwaji wa haki.kuwakataza watu kufanya wanavyo jiskia na kuwaacha wafanye wanavyo jiskia
mahakama ilisema kumuingilia mtu maamuzi ya mapenzi ambayo ni jambo binafsi ni ukandamizaji hivyo basi raia wa taiwani wapo huru
mahakama nchini taiwani yaruhusu ndoa za jinsia moja na kuwaacha raia wawe huru kwenye mahusiano yao
mahakama imesema ni ukiukwaji wa haki.kuwakataza watu kufanya wanavyo jiskia na kuwaacha wafanye wanavyo jiskia
mahakama ilisema kumuingilia mtu maamuzi ya mapenzi ambayo ni jambo binafsi ni ukandamizaji hivyo basi raia wa taiwani wapo huru
Tags
Kimataifa
