korea kaskazini wafanya jaribio jingine

baada ya kuturia mzozo baina ya marekani na korea kaskazini hatimae.korea wafanya jaribio jingine la nyuklia

kufuatia tukio hilo serrikari ya marekani yapendekeza vikwazo zaidi kwa korea baada ya jaribio hilo ambalo wameliita ni upuuzi

pia rais mpya wa korea kusini ame raani vikari jaribio hilo akisema linatishia amani yao na dunia kwa ujumla


Post a Comment

Previous Post Next Post