timu ya chelsea yatangaza kufuta ziara yao mjini manchester ambayo walipanga kwenda kuwaonesha kombe mashabiki wao wa mji huo
hatua hiyo imekuja baada ya juzi kutokea mlipuko ambapo watu.zaidi ya 22 walipoteza uhai wao katika mlipuko wa bomu katika ukumbi wa muziki
pi wachezaji wa chelsea watatoa lambilambi zao kwa wafiwa chelsea ilipanga kutumia gari la wazi kuonesha kombe hilo mjini humo lakini wameamua kusitisha
hatua hiyo imekuja baada ya juzi kutokea mlipuko ambapo watu.zaidi ya 22 walipoteza uhai wao katika mlipuko wa bomu katika ukumbi wa muziki
pi wachezaji wa chelsea watatoa lambilambi zao kwa wafiwa chelsea ilipanga kutumia gari la wazi kuonesha kombe hilo mjini humo lakini wameamua kusitisha
Tags
Michezo
