binti miaka 15 abakwa mwanza

polisi.mkoani mwanza imesibitisha taarifa za kubakwa binti wa miaka 15 na wanaume watatu mkoani.mwanza

mkuu wa polisi amesema binti huyo alikuwa na.mahusiano ya kimapenzi na mmoja wa wabakaji ambae alihaidiana nae wakutane kwaajili ya mazungumzo

baada ya binti huyo kifika walipo kubariana wakawa wamesogea pembeni ambapo kuna nyumba mbuvu kwaajili ya maongezi ghafla wakatokea vijana wawili na kuwa watatu.na kumfanyia ukatili huo

binti huyo alipaza sauti za kuomba msaada ndipo wasamalia wakaja kumsaidia  na kuwakamata vijana hao

akiwataja kwa majina mku wa polisi aliwataja Fredi remigius miaka 20, jackson joseph.miaka 17 pamoja na frank harun miaka 18 woote wakazi wa mwanza


Post a Comment

Previous Post Next Post