Azima au muombe simu yake kisha set baadhi ya vitu kisha mpe simu yake, baadae ingia kwenye Programu ili kusikia mazungumzo yake yote ya siku”. Ni njia nzuri sana ya kusikia mazungumzo ya mtu baada ya kurecodi, ONYO:Tumia njia hii kwa lengo nzuri na si mbaya, kwakuwa unaweza kuvunja mahusiano yako au kusababisha madhara makubwa sana kijamii na hata kifo.
Unahitaji Vitu vitatu:
1. Uwe na Simu yake kwenye mikono yako
2. Programu ya Mobile Spy Software
3. Dakika 15-20 za muda, inategemea na Smartphone uliyonayo
Kama umehakikisha vyote umevifanya au umetekeleza kama vilivyoweka hapo juu, Sasa basi unaweza uka rekodi.
Hebu tuanze
HATUA 1: Pata simu yake kwenye mikono yako
HATUA 2: Install FlexiSPY kwenye simu na activate FlexiSPY
HATUA 3: Log kwenye dashboard ya FlexiSPY
HATUA 4: Bonyeza tab ya Control Center na kisha bonyeza Call Controls
HATUA 5: Bonyeza Enable Call Recording
HATUA 6: Set iwe On kama haikuwekwa
HATUA 7: Bonyeza Live Call Controls na kisha Manage Watchlist
HATUA 8: Hakikisha Option zote zipo chini ya Global Options Zimekuwa checked
Baada ya kufanya hayo yote, mara tu wanapopiga simu kwenye smartphone, FlexiSPY itaanza kurekodi. Recodi hii itakuwa uploaded kutoka kwenye smartphone kwenye kwenye dashboard yako ya FlexiSPY online.
HATUA 9: Kusikia rekodi, Bonyeza Audiolmprint na kisha Calls
HATUA 10: Call ya kurecord huwa inaonekana ndani ya Dashboard ukiwa online
HATUA 10: Bonyeza Download ku Save Rekodi yako kwenye kompyuta kwa kusikia baadae.
Ndo hivyo tu!!
Natarajia utakuwa umefurahi kwa hilo somo, tafadhari usisahau kukoment au kutuma swali lolote kwenye page zetu na utajibiwa. ICT yetu ni yetu sote