Home MATUKIO mzee azikwa na magazeti yake yote aliyosoma mzee azikwa na magazeti yake yote aliyosoma By -Admin June 21, 2019 0 Raia wa Uganda, Dodoviko Ssenyonjo (89) amezikwa na lundo la magazeti aliyokuwa akisoma enzi za uhai wake, kama alivyotaka, kwa sababu hakuamini kama familia yake itaweza kuyahifadhi kama alivyofanya yeye. Tags: MATUKIO Facebook Twitter Whatsapp Newer Older