BREAKING NEWS: WANAFUNZI MBARONI KWA UHARUBIFU WA MALI ZA SHULE

nijuzenews
By -
0

Image result for picha za wanafunzi wa sekondariWanafunzi 21 wakidato cha Tano na Sita  wa shele ya Sekondari Mtakatifu Paul Liuli wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma wanashikiliwa na Jeshi la polisi mkoani humo kwa tuhuma za kufanya uharibu wa  mali za shule kwa kuvunja vioo, madawati na meza na kukutwa na silaha za jadi kama vile visu na mapanga nondo na  kukutwa na Bangi




Taarifa zaidi tutakuletea baadaye
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)