MITUMBA KUTOINGIA TENA NCHINI



Waziri mkuu wa tanzania khasim majaliwa asema muda si mrefu watanzania watasahau kuhusu kuvaa mitumba

maneno hayo yalisemwa na waziri mkuu wakati alipotembelea kiwanda cha nyuzi cha Namera kilichopo gongo la mboto mjini dar es salaam

waziri mkuu alisema kuwepo kwa viwanda vya nguo nchini kuna leta matumaini ya watanzania kuwa muda si mlefu uvaaji wa mitumba utakoma kwakuwa nguo zitakuwa bei raisi nchini

pia majaliwa amewataka wamiliki wa viwanda kutoa ajira kwa vijana wakitanzania ili wanufaike na viwanda hivyo huku wakiwakumbusha kuripa kodi ili nchi nayo ipige hatua

serikali ya awamu ya nne imekuja na seta ya viwanda ili kutoa ajira kwa vijana na kuusukuma uchumi wa nchi ili ugikie kuwa uchumi wa kati hii ikiwa ni juhudi za kuutokomeza umaskini nchini


Post a Comment

Previous Post Next Post