AJINYONGA BAADA YA ALIEMZAMINI KWENYE MKOPO KUTOROKA NA PESA



Mkazi wa Tambukareli mkoani shinyangaSarah bundala miaka 55 ajinyonga baada ya aliye mzamini kwenye mkopo kukimbia na pesa

kamanda wa polisi Jumanne  amesema tukio hilo limetokea kweli ambapo mama huyo alikutwa amejinyonga huku kisa akikufahamika kwa wakati

mume wa marehemu alisema kuwa mke wake alimpigia simu akimwomba pesa 40000 lakini yeye alimjibu kuwa atampa jibu atakapo rudi nyumbani

lakini baada ya kurudi nyumbani akamkuta akiwa amesha jinyonga katika nyumba yao

mume huyo alisema kuwa mke wake anamtindo wa kukopa sana na alishawai kukopa akashindwa kulipa alimlipia na ali mwonya kuhusu kukopa lakini hakusikia

inaaminika alimzamini mwanamke mwenzake kwenye mkopo lakini baada ya kupata pesa akatoweka hatua iliyo wapelekea walio mkopesha kutaka kuja kumfilisi nyumbani kwake ndyo yeye akaamua bola ajinyonge


Post a Comment

Previous Post Next Post