MESS KUSALIA BARCELONA MPAKA KUSTAAFU

Admin
By -
0 minute read
0

mshambuliaji wa fc barcelona lionel messi kasema hafikilii kuondoka klabuni hapo

messi kase hajafikilia kuondoka katika timu hiyo ambayo ameichezea maisha yake yoote ya soka tangu akiwa mdogo kabisa

mess mwenye umri wa miaka 29 ameichezea timu hiyo tangu akiwa na umri wa miaka 13 alijiunga na timu ya watoto na baadae kujiunga na wakubwa

klabu hiyo ndyo iliyo mtoa argentina na kumleta pale kipindi hicho alikuwa ma tatizo la kuto kukuwa walimuhudumia mpaka amekuwa messi anae onekana saizi.


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)
Today | 19, March 2025