LOWASA ASEMA TUMWACHE RAISI TUMUHUKUMU BAADAE

Admin
By -
0

Aliye kuwa waziri mkuu na mgombeq urais kwa tiketi ya chadema mh edward lowasa amesema tumwache raisi

akiongea na wana habari lowasa alisema raisi anafagia pesa za watanzania lakini tusi muhukumu kwa sasa kwa kuwa anamuda wa kujilekebisha na kufanya yatakayo wafuraisha watanzania

alisema kipindi anaanza alianza vizuri ila sasa kuna vitu anashindwa kuviweka sawa na kusema ni makosa ya kibinadamu.tu ya nayo weza kurekebishika hivyo tusimuhukumu kwa sasa tumwache

pia lowasa amesema anandoto bado ya kuja kuiikoa tanzania kwakuwa anatamani bado aje kuwa raisi anatumai 2020 kugombea tena endapo atapata nafasi na uzima


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)