watu zaidi ya 50 wafariki libya

Admin
By -
0

watu zaidi ya hamsini wanaofiwa kufa nchini libya baada ya kutokea mapigano kusini mwa libya

msemaji wa kundi.moja nchini humo amesema kuna kundi.lijiitwaro third force lilivamia uwanja wandege mapema jana

tangu kuuawa kwa ghadafi kumekuwa na makundi mengi yenye siraha ambayo kila mmoja anapambana kwa masrai yake

pia sku kadhaa nyuma wanamgambo wa dola ya kiislam nao waliwauwa raia ladhaa ambao walikuwa ni wakristu


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)