washukiwa ujambazi wauawa mwanza

Admin
By -
0 minute read
0

washukiwa watatu wa ujambazi wauawa mkoani mwanza huku wengine wakifanikiwa kutoroka baada ya majibizano ya risasi na polisi

kamanda wa polisi mkoani mwanza amesema majambazi hao walikuwa njia wakielekea waliko.kuwa wana kwenda kufanya uharifu ndipo polisi wakawasimamisha  lakini wakakaidi ndipo wakaanza kutupiana risasi na askari

katika majibizano hayo majambazi watatu walifariki hapo hapo huku wawili wakifanikiwa kukimbia ambapo mkuu wa polisi kasema wamekamata bunduki moja  na risasi mbili


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)
Today | 19, March 2025