UPEPO MKALI WATARAJIWA KUVUMA PWANI YA TANZANIA

Admin
By -
0
mamlaka ya hari ya hewa imetoa angarizo la kuwepo kwa upepo mkali maeneo ya pwani

mamlaka imesema kutakuwa na upepo mkali katika miji ya dar es salaam,tanga pamoja na unguja na pemba

hivyo basi wakazi wa maeneo hayo wanatakiwa kuchukuwa tahadhali kutokana na hali hiyo hasa kwa wavuvi na hali hii inatarajiwa mpaka kesho tare 31
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)