mmiliki wa facebook ahitimu chuo marekani

Admin
By -
0
mgunduzi na mmiliki wa facebook ahitimu chuo harvad marekani

awali aliacha chuo baada ya kugundua mtandao wa facebook ambao aliugundua wakati akiwa shule

mtandao huo umeweza kumfanya kuwa miongoni mwa matajiri kumi wa mwanzo duniani huku akiwa tajili wa kwanza kijana kwa sasa

wakati wa kuhitimu aliwatia moyo wenzake huku akiwataka kuwa na malengo wanapo amua kufanya jambo

mtandao wa facebook umekuwa maarufu ulimwenguni kote una watu zaidi ya bilion moja kote duniani
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)