duly sykes atoa pole msiba wa dogo mfaume

Admin
By -
0

baada ya kifo cha msanii maarufu kma dogo.mfaume msanii duly ametoa pore kwa wafiwa kupatwa na msiba huo

mfaume alifariki akikaribia.kwenda kufanyiwa upasuaji wa uvimbe kwenye ubongo ambao ulimsumbua kwa muda mrefu

mpaka sasa dully pekee kati ya wasanii walio toa pole kufuatia msiba huo huku wasanii wengi wakiwa kimya


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)