MAHAREZ KUTIMKA LEYCISTA

Admin
By -
0
Mchezaji aliye isaidia leycista city kuwa mabingwa msimu ulio pita anataka kuondoka

mahrez ameiambia timu hiyo kuwa anatamani kuondoka klabuni hapo baada ya kukaa kwa muda

mahrez aliisaidia timu hiyo kuchukuwa ubingwa na yeye kuwa mchezaji bora wa mwaka 2016 huki timi hiyo ikichukuwa ubingwa kwa mara ya kwanza

mchezaji huyo amekuwa akiwindwa na baadhi ya timu kama napol ya ufaransa
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)