mchezaji mmoja wa tenis wa ufaransa Maxime afungiwa kucheza french open baada ya kujaribu kumbusu mwandishi wa habari
mvhezaji huyo alifanya tukio hilo wakati wa mahojiano na waandishi wa habari ambapo alijaribu kumbusu ingawa mwenyew alikataa
kutokana na tukio hilo mchezaji huyo amefungiwa hato cheza mashindano ya jayo kwakuonesha utovu wa nizamu
mvhezaji huyo alifanya tukio hilo wakati wa mahojiano na waandishi wa habari ambapo alijaribu kumbusu ingawa mwenyew alikataa
kutokana na tukio hilo mchezaji huyo amefungiwa hato cheza mashindano ya jayo kwakuonesha utovu wa nizamu