arsenal mabingwa.FA

Admin
By -
0
timu ya arsenali yatwaa ubingwa FA baada ya kumfunga chelsea bao mbili kwa moja

ushindi huo ni wapekee msimu huu.kwa arseanal ambayo imemaliza ligi ikiwa nafasi ya tano huku ikikosa kucheza UEFA

ubingwa huo ni kma kifuta machozi kwa arsenal na kwakocha maana washabiki wamekuwa wakimtaka kocha huyo aresene kuondoka klabuni hapo

baada ya miaka zaidi ya kumi arsenal inakuwa nje bila kushiliki UEFA kitu ambacho kimewaumiza saana mashabiki wa arsenal
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)