Akaniuliza unaishi wapi? Nikamjibu Sina pakuishi nikamwelekeza madhira yote yaliyonikuta
Baada ya kumwelezea akaniambia kuwa yeye Ana nyumba amepanga yeye na rafiki yake kwahiyo twende huko tukaishi wote na akanihaidi kupata kazi
Kweli tuliongozana mpaka alipopanga mtaa unaitwa hilbrow tulipofika tukamkuta rafiki yake. Akanitambulisha kwa rafiki yake na rafiki yake akanielewa vizuri akanikaribisha
Kipindi chote hicho hakuniambia kuwa anafanya kazi gani akaniangalia chakula nikala tukawa tunatazama TV
Baada ya muda kidogo nikamuuliza bro unafanya kazi gani? Akaninijibu usiwaze kuhusu kazi yangu muda ukifika utajua kilakitu Wala usiwe na hofu
Baada ya muda kidogo akaondoka akarudi na Pombe na soda tukanywa ndipo akaniambia kazi aliyokuwa anaifanyia
Akasema hawana kazi rasmi wao Ni wezi wanaiba vitu na hata pesa na akasema atafurai na Mimi nikijiunga nao katika shughuli zao za wizi
Nikabaki nimechoka na sikuwa na jinsi nikajikuta nimekubali kujiunga nao kwaajili ya kufanya wizi ili nipate pesa ya kuendesha maisha ingawa sikuvutiwa Ila ilinibidi iwe Ivo
Nikamuuliza wizi wanao ufanya niwizi wa namna gani? Akaniambia huwa wanaiba kwenye maegesho ya magari na kwa wahindi na wazungu maana huwa na Mali nyingi. Ilipofika usiku majira ya saa tano akaniambia huu ndiyo muda wa kwenda kazini..... ITAENDELEA
Baada ya kumwelezea akaniambia kuwa yeye Ana nyumba amepanga yeye na rafiki yake kwahiyo twende huko tukaishi wote na akanihaidi kupata kazi
Kweli tuliongozana mpaka alipopanga mtaa unaitwa hilbrow tulipofika tukamkuta rafiki yake. Akanitambulisha kwa rafiki yake na rafiki yake akanielewa vizuri akanikaribisha
Kipindi chote hicho hakuniambia kuwa anafanya kazi gani akaniangalia chakula nikala tukawa tunatazama TV
Baada ya muda kidogo nikamuuliza bro unafanya kazi gani? Akaninijibu usiwaze kuhusu kazi yangu muda ukifika utajua kilakitu Wala usiwe na hofu
Baada ya muda kidogo akaondoka akarudi na Pombe na soda tukanywa ndipo akaniambia kazi aliyokuwa anaifanyia
Akasema hawana kazi rasmi wao Ni wezi wanaiba vitu na hata pesa na akasema atafurai na Mimi nikijiunga nao katika shughuli zao za wizi
Nikabaki nimechoka na sikuwa na jinsi nikajikuta nimekubali kujiunga nao kwaajili ya kufanya wizi ili nipate pesa ya kuendesha maisha ingawa sikuvutiwa Ila ilinibidi iwe Ivo
Nikamuuliza wizi wanao ufanya niwizi wa namna gani? Akaniambia huwa wanaiba kwenye maegesho ya magari na kwa wahindi na wazungu maana huwa na Mali nyingi. Ilipofika usiku majira ya saa tano akaniambia huu ndiyo muda wa kwenda kazini..... ITAENDELEA
Tags
Simulizi
