Uongozi wa klabu ya Manchester united ya nchini uingereza yakataa of a kutoka timu ya Barcelona baada ya time hiyo kuhitaji kumsajili kiungo wao Paul pogba
Uongozi umesema bado unahitaji huduma ya mchezaji Huyo na hawajajipanga kumuuza kokote
Barcelona wamekuwa wakimwinda Pogba ambae amekuwa na mahusiano mabovu na kocha wake Josee mourinho
#thesun
Mtazame Mtoto ambae amefanya ubunifu wa hajabu
Uongozi umesema bado unahitaji huduma ya mchezaji Huyo na hawajajipanga kumuuza kokote
Barcelona wamekuwa wakimwinda Pogba ambae amekuwa na mahusiano mabovu na kocha wake Josee mourinho
#thesun
Mtazame Mtoto ambae amefanya ubunifu wa hajabu
Tags
Michezo
