Askari polisi 6 wauawa katika shambulizi lililotekelezwa Helmand na wanamgambo wa Taliban .
Askari 6 wauawa na wanamagmbo wa kundi la kigaidi katika shambulizi Helmand kusini mwa Afghanistan.
Kundi la wanamgambo wa Taliban limetangaza kuwa askari polisi 15 ndio waliouawa katika shambulizi hilo.
Askari 6 wauawa na wanamagmbo wa kundi la kigaidi katika shambulizi Helmand kusini mwa Afghanistan.
Kundi la wanamgambo wa Taliban limetangaza kuwa askari polisi 15 ndio waliouawa katika shambulizi hilo.
Tags
Kimataifa
