Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Freeman mbowe ampongeza raisi magufuri
Mbowe ampongeza raisi magufuri kwa kutenganisha wizara ya nishati na madini kuwa wizara tofauti
amesema kwa kipindi kirefu wamekuwa wakililia bungeni kuwa wizara hizo zitenganishwe kutokana na ukubwa wake hasa wizara ya madini
amesema anashukuru saizi serikali imewasikiliza kwa kuwa waliitaji mabadiliko haya tangu zamani lakini hawa kusikilizwa
kikubwa ni kutenganisha wizara hizo na siyo swala la nani atakuwa waziri kwenye wizara hii nyeti ya madini alisema mbowe..
Mbowe ampongeza raisi magufuri kwa kutenganisha wizara ya nishati na madini kuwa wizara tofauti
amesema kwa kipindi kirefu wamekuwa wakililia bungeni kuwa wizara hizo zitenganishwe kutokana na ukubwa wake hasa wizara ya madini
amesema anashukuru saizi serikali imewasikiliza kwa kuwa waliitaji mabadiliko haya tangu zamani lakini hawa kusikilizwa
kikubwa ni kutenganisha wizara hizo na siyo swala la nani atakuwa waziri kwenye wizara hii nyeti ya madini alisema mbowe..
Tags
Siasa
